Place cursor over chart elements to see labels

Vizazi (Muda Wa Majira)

A – Dunia ile iliyokuwa – Mgao wa  Kwanza (2 Petro 3:6, Mwanzo 6:11–13)
B – Dunia mbovu ya sasa – Mgao wa Pili (Wagalatia 1:4, 1Yohana 5:19, Malaki 3:16)
C – Dunia ijayo – Mgao wa Tatu (Waebrania 2:5, 2 Petro 3:13, Waefeso 1:10)
D – Wakati wa Wateule – (Matendo ya Mitume 7:8)
E – Wakati wa Wayahudi – (Kumbukumbu la Torati 7:6, Zaburi 147:19:20)
F – Wakati wa Injili – (Marko 1:14–15, Matendo ya Mitume 15:14, Mathayo 24:14)
G – Wakati wa Masihi – (1 Wakorintho 15:25, Ufunuo 20:1-6)
H – Nyakati zijazo – (Waefeso 2:7, 3:21)
f  – Wakati wa dhiki ya Israeli katika nyakati za Mavuno ya Wayahudi-kugawanya ngano na makapi –
      (Luka 3:16–17)
S – Wakati wa dhiki ya dunia katika Mavuno ya Injili- kugawanya ngano na magugu (Mathayo 13:30, 38-40,
      Ufunuo 14:15, 18)
T– Mauti ya Pili, muda mfupi wa Shetani: kugawanya kondoo na mbuzi (Mathayo 25:31–32,
     Ufunuo 20:7–10, 14–15, 1 Wakorintho 15:26)

Misingi (Hatua Za Utukufu)

K – Hali ya Uungu  ya utukufu na mamlaka ya afisi (Wafilipi 2:9–11, Ufunuo 3:21)
L – Hali ya kupeanwa kiroho (Yohana 3:8, 1 Yohana 3;2)
M – Hali ya ukombozi wa kiroho (Warumi 12:1, 1 Petro 1:3–4)
N – Hali ya kibali cha Mungu (kwa mwanadamu) (Yakobo 2:23, Warumi 5:8–9, 19)
P – Hali ya kibali cha Mungu- (Mambo ya Walawi 16:30, Waebrania 9:7–10)
R – Hali ya dhambi na mahangaiko (mateso)-; (Warumi 5:12, Isaya 64:6, Warumi 10:3)
 

Matuta (Makundi Ya Watu)

a – Adamu katika hali ya ukamilifu (Mwanzo 1:27, 31)
b – Muanguko wa Adamu na uzao wake kabla ya gharika (Mwanzo 6:5)
c – Wateule wakuu wa zamani kama kibinafsi (Warumi 4:2–3, Ezekieli 14:2, Waebrania 11)
d – Ukoo wa mwanadamu  kutoka kwa gharika hadi wakati wa Masihi (Warumi 5:12, 1 Johana 5:19)
e – Hali ya kimwili ya Israeli kwa kufanywa haki kama taifa (Mambo ya Walawi 16:33–34, Waebrania 10:1)

 Kristo

g – Yesu katika umri 30 mtu mkamilifu (Waebrania 10:5, Johana 1:29-32)
h – Yesu, apeanwa  kiroho katika Yordani (Mathayo 28:18, Yohana 5:26)
i –  Yesu, afufuka kwa mwili wa Kiungu (Mathayo 28:18, Yohana 5:26)
k – Yesu, siku 40 baada ya kufufuka, katika  utukufu mkuu (Matendo ya Mitume 1:9, Waebrania 9:24)
l –  Yesu, katika Wakati wa Injili, akalishwa na Baba kwenye Kiti  cha Enzi (Waebrania 6:20, 10:12,
      Ufunuo 3:21)

Wakristo katika Wakati wa Injili

m – Waliopeanwa Kiroho, wafanywa kuwa Kundi Kuu (1 Wakorintho 3:11, 15)
n – Waliozaliwa Kiroho wafanywa Bibi-arusi wa Kristo (Warumi 12;1-2, 1 Petro 2:9-10
,
      Wagalatia 5:22-25)
p – Wanaoamini,lakini hawajatakaswa kamili (Marko 9:41,Mitume 26:27-28, Mathayo 22:14)
q – "Magugu," Niwale waendao kanisani lakini hawajaamini,Wanafiki (Mathayo 13:38, 15:8-9)

Nyakati za Mavuno ya Injili 

r – Yesu,katika kurudi kwake kwa pili (Yohana 14:3, Waso.4:16-17)
s – Kundi Ndogo,lilotengwa kutoka kw Babeli ( Ufunuo 7:13-17, Waso 4:16-17)
t – Umati Mkubwa,unakosa kupata malipo makuu (Ufunuo 7:13-17, 1 Wakorontho 3;13-15)
u – Babeli,sehemu ilionzuri ya kanisa la kawaida,kuanguka: wengine kubakia kwa Msingi N,na wengine
      chini zaidi (Ufunuo 3:15-16, 16:19)
v – Babeli,ambayo ni ishara ya unafiki wa  kanisa la kawaida, kuanguka katika Msingi R,
      pamoja na wasioamini (Ufunuo 18:2, Mathayo 24:51) 

Wakati wa Miaka Elfu

w – Kristo aliye tukuzwa,kichwa na mwili (Ufunuo 19:7-8, 21:2
x –  Kundi la Kristo aliye tukuzwa, latawala (1Yohana 3:2, Judi 14, Ufunuo 18:2)
y –  Kundi la Umati Mkubwa (Zaburi 45:14, Ufunuo 7:9-10, 13-17, 19:1)
z –  Israeli ya kimwili yarejeshwa na kuwa maarufu (Warumi 11:25-29, Zekaria 8:13-23)
W – Ukoo wa mwanadamu warejeshwa kwa ukamilifi na kuunganishwa na Mungu (Ufunuo 21:1-4, Isaya 35)